Monday, October 28, 2019

Abu Bakr al-Baghdadi: Tunachokijua kuhusu uvamizi wa Marekani na mauaji yake Syria


Rais Trump akivihutubia vyombo vya habari kufutia kifo cha Baghdadi
Rais Donald Trump ametangaza kwamba kiongozi aliyekuwa akijificha wa kundi la Islamic State , Abu Bakr al Baghdad alijiuwa mwenyewe wakati wa uvamizi wa kikosi maalum cha Marekani nchini Syria.
Hiki ndicho tunachojua kuhusu operesheni hiyo.

Ni wapi na lini ilitekelezwa?

Katika tangazo la runinga , bwana Trump alitangaza kwamba gaidi huyo nambari moja duniani amefariki wakati wa uvamizi hatari wa usiku kaskazini magharibi mwa Syria na vikosi maalum vya Marekani.
Marekani ilikuwa imetoa kitita cha dola milioni 25 kwa habari kuhusu alipo Abu bakr al BaghdadiHaki miliki ya pichaAFP
Image captionMarekani ilikuwa imetoa kitita cha dola milioni 25 kwa habari kuhusu alipo Abu bakr al Baghdadi
Rais alisema kwamba ndege aina ya helikopta iliokisafirisha kikosi hicho maalum iliondoka kutoka eneo ambalo halikutajwa baada mwendo wa saa kumi na moja saa za Marekani siku ya Jumamosi, wakati yeye na viongozi wengine walikusanyika katika chumba cha Ikulu ya Whitehouse.
Ndege zilisafiri kwa muda wa saa moja na dakika 10 kutoka maeneo tofauti, hiuku opetresheni ya ardhini ikifanyika kwa muda wa saa mbili, aliongezea.
Maafisa waliambia vyombo vya habari nchini Marekani kwamba mapema siku ya Jumapili nchini Syria, vikosi maalum vya Marekani vililenga eneo moja la kijiji cha Barisha mkoani Idlib takriban kilomita 5 kusini mwa mpaka wa Uturuki.
Eneo alilokuwa kiongozi huyo wa Islamic State Syria
Presentational white space
Idlib ndio ngome ya mwisho ya upinzani dhidi ya serikali ya Bashar al Asad.
Inatawaliwa na muungano wa wapiganaji wa Jihad ambao unakinzana na Kundi la Islamic State , lakini mamia ya wapiganaji wa IS wanaaminika kupiga kambi katika eneo hilo.
Jeshi la Syria linaloungwa mkono na Syria lipo mashariki, magharibi na kusini.

Jinsi uvamizi huo ulivyofanyika

Bwana Trump alisema kwamba vitengo vya ujasusi nchini Marekani vilimchunguza Baghdad kwa wiki kadhaa kabla ya operesheni na kwamba walijua eneo hilo lilikuwa na mahandaki kadhaa, huku mengi yakiwa na mwisho wake.
Siku ya Jumamosi , rais aliamrisha ujumbe uliohusisha kundi moja la wanajeshi maalum , ndege nane na meli nyingine nyingi.
Picha zikimuonyesha rais donld Trump na viongozi wengine wa kisiasa na kijeshi wakiwa katika chumba kimoja cha Ikulu ya Whitehouse
Ndege hizo zilipaa juu ya anga ya Uturuki, mbali na maeneo yanayodhibitiwa na majeshi ya Syria pamoja na yale ya Urusi.
Urusi ilishirikiana na kufungua nga yake kwa operesheni hiyo ya Marekani licha ya kutoambiwa kile kilichokuwa kikijiri kulingana na rais Trump.
''Operesheni hiyo ya kuingia na kutoka ilikuwa hatari mno. Kulikuwa na wakati ambapo tungekabiliwa vilivyo'' , alisema .
''Ndege zetu zilipaa chini chini lakini kwa mwendo wa kasi''.
Huku ndege hizo zikikaribia katika nyumba hiyo zilishambuliwa lakini Trump anasema mashambulizi hayo yalimalizwa haraka.
Mkaazi mmoja wa Barisha anasema kwamba ndege hizo za Marekani zilishambulia nyumba mbili na kuiharibu kabisa mojaHaki miliki ya pichaAFP
Image captionMkaazi mmoja wa Barisha anasema kwamba ndege hizo za Marekani zilishambulia nyumba mbili na kuiharibu kabisa moja
Mwanakiji mmoja kutoka eneo la Barisha aliambia BBC kulikuwa na mashambulizi kutoka kwa helikopta hizo kwa zaidi ya dakika 30 kabla ya vikosi vya ardhini kuingia eneo hilo, akiongezea kwamba ndege hizo zilishambulia nyumba mbili na kuiharibu kabisa mojawapo.
Baada ya ndege hizo kutua , wanajeshi hao maalum walilipua mashimo katika kuta ya nyumba hizo ili kukwepa kuingia ndani kupitia mlango wa mbele uliowekwa vilipuzi na baadaye kuanza kuondoa vifusi kulingana na Trump.

Unaweza pia kusoma:

Rais huyo alisema kwamba Baghdad alifariki baada ya kutorokea katika handaki lililo na mwisho, akilia na kupiga kelele.
Hakuna uthibtisho huru wa mauaji ya BaghdadiHaki miliki ya pichaAFP
Image captionHakuna uthibtisho huru wa mauaji ya Baghdadi
Watoto 11 waliondolewa katika nyumba hiyo bila majeraha kufikia wakati huo, huku watu wakisalimu amri na wengine kupigwa risasi.
''Aliyekuwa amesalia alikuwa Baghdadi pekee katika handaki pamoja na watoto watatu'', aliongezea.
''Alifika mwisho wa handaki , huku mbwa wetu wakimfukuza . Alikuwa ameweka vilipuzi katika nguo yake ya ndani na akajilipua na watoto hao watatu''.
''Mwili wake ulikatwakatwa na mlipuko huo huku handaki hilo likiuangukia'' , aliongezea.
Picha na kanda za video kuhusu kilichotokea baada ya uvamizi huo wa Marekani zilionyesha vifusi vya jengo lililoharibiwa pamoja na gari lililochomeka likiwa na mashimo chungu nzima ya risasi.

Kwa nini Marekani ina hakika Baghdadi amefariki?

Bwana Trump amesema kuwa matokeo ya vipimo vya mabaki ya mtu aliyejilipua katika handaki hilo yalionyesha kwamba alikuwa Baghdadi.
Ilichukua takriban muda wa dakika 15 baada ya kufariki.
''Vipimo hivyo vilifanywa na wataalam waliosafiri na vikosi hivyo maalum na walikuwa na sampuli ya vinasaba vya Baghdadi'', aliongezea.
Wataalam hao pia walibeba vipande vya mabaki ya mwili wake katika ndege hizo, kulingana na Trump. Hakujakuwa na uthibitisho huru kuhusu kifo cha Baghdad. Wafuasi wa IS wamekuwa wakionyana kuhusu kuamini tangazo hilo la Marekani.

Je kuna majeraha mengine?

Rais huyo alisema: hakuna hata mwanajeshi ama afisa mmoja wa Marekani aliyeuawa katika operesheni hoyo, huku idadi kubwa ya wapiganaji wa Baghdadi na washirika wao wakifariki naye.
Chombo cha habari cha Jihadi mjini Idlib lkimesema kwamba basi la raia lilishambuliwaHaki miliki ya pichaAFP
Image captionChombo cha habari cha Jihadi mjini Idlib lkimesema kwamba basi la raia lilishambuliwa
Wake wawili wa Baghdadi ni miongoni mwa waliokufa
Bwana Trump anasema kwamba wanawake hao walipatikana wakiwa wamevalia fulana za ndani zilizowekwa vilipuzi ambavyo havikulipuliwa.
Mbwa wa Marekani alijeruhiwa katika handaki hilo mahala ambapo Baghdadi alifariki , kulingana na Trump .
Haijajulikani iwapo wafuasi wa IS ama watoto waliokamatwa walijeruhiwa.
Bwana Trump alisema kwamba wapiganaji hao kwa sasa wanazuiliwa huku watoto hao wakiwekwa chini ya usimamizi wa mtu ambaye hakutajwa.

Kwa nini Baghdadi alijificha Idlib?

Mji wa Barisha upo mamia ya kilomita kutoka eneo la jangwa lililo mashambani katika mpaka wa Syria na Iraq ambapo Baghdadi aliaminika kujificha.
Bwana Trump alisema kwamba, Baghdadi alikuwa Idlib kwa kuwa alikuwa na lengo la kujenga upya jeshi lake la wapiganaji wa IS baada ya vikosi vya Kikurdi vinvyoongozwa na Marekani kuteka ngome zake za mwisho zilizosalia karibu na kijiji cha Baghuz kilicho mashariki mwa Syria mwezi Machi.
''Hiyo ndio sababu iliomfanya kusalia katika eneo hilo'', rais huyo aliongezea. Hilo ndio eneo muhimu unapozungumzia kujenga upya kundi hilo.
Anasema kwamba ripoti muhimu za kijasusi kuhusu mipango ya siku zijazo ya Baghdadi ilipatikana wakati wa shambulio hilo na kwamba Marekani itamsaka yeyote yule atakayemrithi.
''Tunawajua watakaomrithi. Na tayari tumeanza kuwaaangazia''.

Je Abu Bakr al-Baghdadi ni nani?

Alizaliwa 1971 katika eneo la Samarra nchini Iraq.
Akiwa angali mtoto alidaiwa kupenda sama kusoma Quran na kufuata sheria za kidini, akiwalaumu ndugu zake wasiofutwa vizuri dini ya Kiislamu.
Lakini ilikuwa wakati ambapo alikuwa anafuzu kupata Stashahada ya somo la Quran katika chuo kikuu cha Saddam Husein , ndio wakati alijihusisha na msimamo mkali wa kundi hilo.
Mwisho wa mwaka 2000 alikuwa ameanzisha kundi linalofuata sunna na aliendelea hadi kushirikishwa na kundi la al-qaeda nchini Iraq ambapo kundi la Islamic state lilibuniwa.
Tangu 2014 amesalia mkimya kwa muda mrefu huku kukiwa na uvumi wa kifo chake ambao haujathibitishwa.

Sunday, October 27, 2019

Stormzy na Meghan Markle ni miongoni mwa watu weusi walioorodheshwa kati ya wale walio na ushawishi mkubwa zaidi Uingereza


Meghan Markle and StormzyHaki miliki ya pichaGETTY IMAGES
Stormzy, Meghan Markle na Raheem Sterling wametajwa miongonbi mwa watu weusi walio na uwezi mkubwa nchini Uingereza.
Muhariri wa jarida la Vogue Edward Enninful , mwanamitindo Adwoa na Reggie Yates pia wameorodheshwa katika orodha hiyo ya 2020.
Ismail Ahmed ambaye ndiye mkuu wa kampuni ya fedha ya WorldRemit , ndiye anayeongoza katika orodha hiyo.
Orodha hiyo inashirikisha watu 100 wenye mizizi ya Afrika, Afrika na Caribean na Waafrika wa Marekani wanaofikiriwa kuwa na ushawishi mkubwa.
Majina mengine maarufu katika orodha hiyo ni Idris Elba, Anthony Joshua, Dina Asher-Smith na Naomie Harris.
Dina Asher-Smith, Raheem Sterling na Adwoa AboahHaki miliki ya picha
Image captionDina Asher-Smith, Raheem Sterling na Adwoa Aboah wote waliorodheshwa katika orodha hiyo ya 2020
Ismail Ahmed alianzisha kampuni yake 2010 akitumia fidia kutoka kwa Umoja wa mataifa kwa kufichua kashfa kubwa ya iufisadi.
Kampuni yake inalengwa kuwasaidia wahamiaji kutuma fedha ka matrafiki na familia zao nyumbani walikotoka.
Alisema: Ni fursa na heshima kubwa kushinda tuzo hii. Nilipokuwa nikikuwa nchini Somaliland, niliona jinsi fedha zinazotumwa nyumbani na wahamiaji zinaweza kubadilisha maisha na jamii nzima.
Nilipowasili mjini London kusoma na kuanza kutuma fedha nyumbani , nilikasirishwa na muda na gharama ya kutuma fedha kupitia maajenti.
Hivyobasi alichukulia swala hilo kuwa lengo lake kutafuta njia bora kufanya kazi hiyo kuwa rahisi na kwa muda mfupi.
Ismail Ahmed - Mwanzilishi na Mwenyekiti wa WorldRemit
Jopo lililoongozwa na jaji mstaafu wa mahakama kuu , Dame Linda Dobbs , lilichagua watu hao katika mwaka wake wa 13.
Lengo lao ni kuwatuza wale walio juu katika nyanja mbalimbali ikiwemo biashara , sayansi, teknolojia na burudani. Ni majina 10 pekee yalio juu yalioorodheshwa.
Meghan Markle alichaguliwa katika orodha ya umma, na elimu lakini hakuorodheshwa miongoni mwa watu 10 bora.

Orodha ya watu weusi wenye ushawishi Uingereza:

  1. Ismail Ahmed - Mwanzilishi na Mwenyekiti wa WorldRemit
  2. Pat McGrath, MBE - Msanii wa urembo na mwanzilishi wa Pat McGrath Labs
  3. Michael Sherman - Mkuu wa mikakati na afisa wa mabadiliko BT
  4. Jacky Wright - Afisa mkuu wa Kidijitali Microsoft
  5. Stormzy - Msanii
  6. Edward Enninful, OBE - Muhariri mkuu wa jarida la Uingereza la Vogue
  7. Ebele Okobi - Mkurugenzi wa sera za umma, Afrika, mashariki ya kati na Uturuki
  8. Paulette Rowe - Mkuu wa malipo na huduma za kifedha Facebook
  9. Lynette Yiadom-Boakye - Msanii
  10. Richard Iferenta - Mshirika , KPMG

Friday, October 25, 2019

JE! WAJUA KUWA PANYA HUPUNGUZA MSONGO WA MAWAZO WANAPOENDESHA GARI?


Magari yanaayoendeshwa na panya 'Ratmobile'
Kujifunza kuendesha magari madogo kunawasaidia panya kupunguza msongo wa mawazo, kulingana na wanasayansi.
Watafiti katika chuo kikuu cha Richmond nchini Marekani walilifunza kundi la panya 17 jinsi ya kuendesha magari madogo ya plastiki kabla ya kuwapatia chakula.
Kiongozi wa utafiti huo Daktari Kelly Lambert alisema kwamba panya hao walihisi kupumzika wakati wa mafunzo hayo, matokeo ambayo yanaweza kusaidia katika kufumbua fumbo la tiba za magonjwa ya kiakili isiouzwa dukani.
Panya hao hawakutakiwa kufanyiwa majaribio ya kuendesha magari mwisho wa utafiti huo.

Ni vipi panya hao walijifunza kuendesha magari?

Dkt. Lambert na wenzake waliunda gari dogo la kielektroniki kwa kushikanisha plastiki katika sahani ya alumini ilio na magurudumu.
Ili kuweza kuendesha gari hilo, panya hukalia sahani hiyo ya alumini na kushikilia waya ya shaba . Hapo ndipo gari hilo linapoanza kwenda huku mnyama huyo akielekeza eneo analotaka kusafiri.
Baada ya mafunzo ya miezi kadhaa , panya hao walijifunza jinsi ya kulifanya gari hilo kusonga lakini pia kubadili mwelekeo wake, waliandika watafiti katika jarida la utafiti wa Ubongo.

Je walipata nini?

Baadhi ya panya hao waliokuwa katika utafiti huo walilelewa katika maabara huku wengine wakiishi katika mazingira mazuri - walikuwa na maeneo mengine ya kuishi.
Baada ya majaribio hayo watafiti walikusanya vinyesi vya wanyama hao ili kupima vipimo vya homoni wenye shinikizo mbali na homoni wanaopigana dhidi ya shinikizo hiyo.
Panya wote walikua na viwango vya juu vya homoni wanaopigana na shinikizo ya kiakili, ambayo wanasayansi wanaamini inaweza kuhusisha na kuridhika kujifunza kitu kipya.
Panya katika gari la PlastikiHaki miliki ya pichaAFP
Image captionPanya hao walidhibiti gari hilo
Dkt Lambert aliambia kitengo cha habari cha AFP kwamba matokeo hayo yanaweza kuwa muhimu kwa utafiti wa siku za usoni kwa lengo la kupata tiba ya matatizo ya kiakili.
''Hakuna tiba ya schizophrenia ama shikizo ya kiakili na tunahitaji kupiga hatua. Nadhani tunahitaji kuangalia wanyama na majukumu tofauti na kuheshimu kwamba tabia inaweza kubadili kemia ya neva''.

Friday, May 30, 2014

Apple agrees to buy headphone maker Beats for $3bn

Beats headphones are sold along side iPods in an Apple store Beats headphones are already sold alongside Apple products
Apple has confirmed it will buy headphone maker and music-streaming service provider Beats Electronics.
The deal is worth a total of $3bn (£1.8bn), and is thought to be Apple's largest acquisition to date.
As part of the acquisition, Beats co-founders Jimmy Iovine and Dr Dre will join the technology firm.
Apple boss Tim Cook said the deal would allow the firm to "continue to create the most innovative music products and services in the world".

The Beats deal is totally in character for Apple: everyone is puzzled”
Benedict Evans Technology analyst
In a statement, Apple said it is paying an initial $2.6bn (£1.6bn) for Beats, and approximately $400m (£239m) "that will vest over time".
Beats was founded in 2008 by music producer Jimmy Iovine and hip-hop star Dr Dre and until recently was best known for its headphones.
It started a subscription-based music streaming service earlier this year.
Apple has its own iTunes store, the world's largest music download service, and launched iTunes Radio last year.
But despite having been an early pioneer of digital music, the Californian firm has been facing increased competition from subscription services such as Spotify, Pandora and Rdio.

There had been speculation that Apple might drastically cut its offer price for Beats or pull the deal altogether, after a video of Dr Dre describing himself as hip-hop's first billionaire leaked online.
But the deal has now been confirmed for only $200m less than what had originally been reported.
The press release announcing the tie-up mentions Beats' "premium sound entertainment," but there has been criticism of its headphones' sound quality.
However, there's no doubting their popularity or the skill of Beats' co-founders Jimmy Iovine and Dr Dre in building up the brand.
It's questionable whether Apple's co-founder Steve Jobs would have been willing to share the limelight with two such outspoken personalities.
But the challenge for the more reserved Tim Cook is to bring the two firms' very different cultures together, and to make the most of the Beats brand, as he delivers on a promise to launch new products this year.
However, Beats' music service only has about 110,000 subscribers, compared with Spotify's 10 million.
'It's the people' The deal with Beats also marks a departure for Apple, which has a reputation for developing new products in-house, rather than buying up smaller firms - a method preferred by rivals Google.
But in an interview with the New York Times, Mr Cook hinted that Beats' founders may have been part of the attraction.
"Could Eddy's team [Eddy Cue, Apple executive in charge of iTunes] have built a subscription service? Of course," he told the newspaper.
"You don't build everything yourself. It's not one thing that excites us here. It's the people. It's the service."
"These guys are really unique," Mr Cook added. "It's like finding the precise grain of sand on the beach. They're rare and very hard to find."
The Apple boss also said that Dr Dre and Mr Iovine would be coming up with "products you haven't thought of yet".
In this image provided by Apple, from left to right, music entrepreneur and Beats co-founder Jimmy Iovine, Apple CEO Tim Cook, Beats co-founder Dr. Dre, and Apple senior vice president Eddy Cue pose together at Apple headquarters in Cupertino, Calif., Apple released this picture of Beats founders Jimmy Iovine and Dr Dre posing with Mr Cook and Mr Cue
'Everyone is puzzled' However some analysts remain baffled by the acquisition.
Technology writer Benedict Evans tweeted: "If you think Apple's lost it, Beats deal is confirmation. If you don't, it's… perplexing. Few really convincing rationales."
He added: "The Beats deal is totally in character for Apple: everyone is puzzled."
Beats co-founder Jimmy Iovine, who made his name as chairman of the Interscope Geffen A&M record label, welcomed the deal.
"I've always known in my heart that Beats belonged with Apple," he said.
The deal is thought to have made Dr Dre hip-hop's first billionaire The deal is thought to have made Beats co-founder Dr Dre the first hip-hop billionaire
"The idea when we started the company was inspired by Apple's unmatched ability to marry culture and technology.
Apple analyst Jim Dalrymple hinted that it may be Mr Iovine's talent that the technology firm is after.
Writing on his website The Loop, Mr Dalrymple said: "In my opinion, Jimmy is going to play an important role going forward.
"Maybe not that you always see, but he'll be there".
As well as headphones, Beats sells earphones and portable speakers, and has even developed partnerships with carmakers and computer manufacturers to include its BeatsAudio software technology in their products.
The company's flagship products have also received several celebrity endorsements, with stars including Lady Gaga, Lil Wayne and Nicki Minaj designing their own customised Beats headphones.
Subject to regulatory approvals, Apple said it expects the deal to close in the fourth financial quarter of this year.

Libya general's forces bomb Islamist camp

Khalifa Haftar leaves a news conference in Benghazi - 18 March 2011 General Khalifa Haftar says he is fighting "terrorism"
Libyan forces loyal to a renegade general have bombed government-funded Islamist militia in the eastern city of Benghazi.
Witnesses say aircraft targeted a base of the February 17th Brigade, one of the main armed groups in the area.
General Khalifa Haftar, a former army chief of staff under Col Muammar Gaddafi, has launched several recent attacks in Benghazi and Tripoli.
He accuses the government of supporting terrorism, which the authorities deny.
Gen Haftar's actions have been backed by an array of armed groups, including military forces in the east as well as some members of the air force.
The central government has called his assault an "attempted coup", but some government officials say they back the operation.
Legacy of violence Libya is still in turmoil three years after the fall of Gaddafi - with political, religious and political factions locked in disagreement about the country's future.
There are almost daily assassinations, bombings and kidnappings.
Mohamed al-Zahawi, leader of Libyan jihadist group Ansar Asharia, speaks to the press in front of a black Islamist flag in Benghazi on May 27, 2014. Mohamed al-Zahawi says the attacks against his group are a "crusade"
Gaddafi's rule left Libya with few institutions, and in the absence of a fully functioning army and police, the government funds some armed groups to fulfil a security role in the country - including the February 17th Brigade.
The brigade is a powerful force known for its close ties to the hardline Islamist group Ansar al-Sharia.
In a news conference on Tuesday, Ansar al-Sharia's commander Mohamed al-Zahawi described the military operations against his group and others in Benghazi as a "crusade".
He accused Gen Hafter of being backed by foreign powers, and warned the US against any intervention in Libya.
The state department in Washington is now urging US nationals to leave the country immediately because of Libya's political instability.